forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
660 B
Markdown
20 lines
660 B
Markdown
# Kwa nini kunituhumu kwa kufanya makosa? Ninyi nyote mmeniasi
|
|
|
|
"Ninyi Israeli mnadai kuwa mimi nilikosea pale niliposhindwa kuwaokoa mliponiita, hata kama mnaendelea kunitenda dhambi."
|
|
|
|
# umewaangamiza
|
|
|
|
"uko tayari kuleta maangamizi makubwa"
|
|
|
|
# Enyi watu wa kizazi hiki! Sikilizeni neno langu, neno la BWANA
|
|
|
|
"Enyi nyumba ya Yuda, silikizeni neno ninalowaambia."
|
|
|
|
# Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza nene?
|
|
|
|
"Sikuwatelekeza jangwani wala kuwaacha kwenye nchi yenye giza nene"
|
|
|
|
# Kwa nini watu wanguhusema, 'Acha tuzungukezunguke hatutakuja kwako tena'?
|
|
|
|
"Kwa niin masema, "Tunaweza kwenda kule tutakako kwenda na wala kumwabudu BWANA tena.'
|