forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
747 B
Markdown
24 lines
747 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
"Sisi" inamaanisha waumini wote
|
|
|
|
# wajua kuwa "sanamu si kitu katika dunia hii," na ya kuwa hakuna Mungu ila mmoja tu
|
|
|
|
Paulo ananukuu maneno haya ambayo baadhi ya Wakorintho waliyatumia. "Sote tunajua, kama ninyi wenyewe mnavyopenda kusema, kuwa sanamu haina nguvu au maana kwetu' na kwamba hakuna Mungu ila mmoja tu"'
|
|
|
|
# sanamu katika dunia hii si kitu
|
|
|
|
"sanamu haina nguvu katika dunia hii"
|
|
|
|
# waitwao miungu
|
|
|
|
waitwao miungu..." vitu ambavyo watu huviita miungu"
|
|
|
|
# miungu na mabwana wengi.
|
|
|
|
Paulo hana imani kuwa miungu na mabwana wengi wapo na wanaishi, lakini anatambua kuwa wapagani wao wanaamini hivyo.
|
|
|
|
# ijapokuwa kwetu kuna
|
|
|
|
" Vyovyote watakavyosema na kufikiri watu wengine , sisi tunaamini kwamba kuna... tunaishi"
|