forked from WA-Catalog/sw_tn
707 B
707 B
Tamko la Yahweh
Hii inamaanisha Yahweh amesema kwa makini.
Inuka kwa waathirika
"Inuka kuangamiza waathirika"
kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu sawa na kusisitiza kwamba Yahweh atayahukumu mataifa yote.
hasira yangu, ghadhabu yangu kali yote
Maneno "hasira" na "ghadhabu kali" kimsingi ina maana sawa na inasisitiza kiwango cha hasira ya Yahweh. "hasira yangu kali."
hivyo nchi yote itakuwa imemezwa kwa moto wa hasira yangu
Maneno haya yanaweza kuelezewa kwa mfumo wa kitendo. "kwa hiyo moto wa hasira yangu utameza nchi yote."
kuteketezwa kwa moto wa hasira yangu
Hasira hapa imesemwa kama kutakuwa na moto ambao utateketeza kitu fulani.