forked from WA-Catalog/sw_tn
906 B
906 B
Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa.
kutakuwa na Yahwe, Mungu mmoja, na jina lake pekee
"kutakuwa na Mungu mmoja pekee, Yahwe, atakayeabudiwa"
Araba... Geba... Rimoni
Haya ni majina ya maeneo
Yerusalemu itaendelea kuwa juu
Hii inamaanisha mwinuko wa mji wa Yerusalemu, kama mita 760 juu ya usawa wa bahari.
Yeye
Yerusalemu na miji mingine imetajwa kwa kiwakilishi cha jina la kike(she)
ataishi mahali pake mwenyewe
"ataishi mahali amekuwa akiishi daima"
lango la Benjamini... lango la kwanza... Lango la pembeni
Haya ni majina mbalimbali ya malango katika ukuta wa Yerusalemu.
Mnara wa Hananeli
Hii inamaanisha sehemu yenye nguvu katika ulinzi wa mji ukutani. Pengine ulijengwa na mtu aliyeitwa Hananeli.
shinikizo la mfalme
Pengine inamaanisha mahali mvinyo wa familia ya kifalme ulipotengenezewa.