forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
478 B
Markdown
17 lines
478 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha
|
|
|
|
Pamoja na kuwa Israeli kama taifa lililokataliwa na Mungu, Paulo anawaonya Mataifa kuwa makini na wasifanye kosa lile lile.
|
|
|
|
# Wameona mashaka hata kuanguka?
|
|
|
|
"Je Mungu amewakataa daima kwa sababu wametenda dhambi?"
|
|
|
|
# Hata kidogo
|
|
|
|
"Hiyo haiwezekani" au "la hasha!" Ufafanuzi huu unakataa kwa nguvu kwamba hii haiwezi kutokea. Unaweza kuwa na ufafanuzi mwingine kwa lugha yako ambayo unaweza kutumia hapa.
|
|
|
|
# Dunia
|
|
|
|
Hapa inamaanisha watu wa duniani.
|
|
|