sw_tn/rom/11/11.md

17 lines
478 B
Markdown

# Maelezo yanayounganisha
Pamoja na kuwa Israeli kama taifa lililokataliwa na Mungu, Paulo anawaonya Mataifa kuwa makini na wasifanye kosa lile lile.
# Wameona mashaka hata kuanguka?
"Je Mungu amewakataa daima kwa sababu wametenda dhambi?"
# Hata kidogo
"Hiyo haiwezekani" au "la hasha!" Ufafanuzi huu unakataa kwa nguvu kwamba hii haiwezi kutokea. Unaweza kuwa na ufafanuzi mwingine kwa lugha yako ambayo unaweza kutumia hapa.
# Dunia
Hapa inamaanisha watu wa duniani.