Tutasema nini basi?
Tofasiri mbadala: "Hivi ndivyo tunapaswa kusema"
Kwamba mataifa
Tofasiri mbadala: "Tutasema kwamba wa mataifa"
ambao hawakuitafuta haki
"ambao hawakujaribu kumfurahisha Mungu"
hawakuweza kuifikia
"hawakuweza kuipata haki kwa kuifata sheria"