forked from WA-Catalog/sw_tn
519 B
519 B
Kisha utasema kwangu
Paulo anazugumza hukumu ya mafundisho yake kama vile alikuwa anaongea na mtu mmoja. Unaweza kuhitajia kutumia wingi hapa.
yeye...yake
Maneno 'yeye' na 'yake' hapa yanarejesha kwa Mungu
hivi kilichofinyangwa cha weza sema... matumizi ya kila siku?
Paulo anatumia haki ya mfinyazi kutengeneza aina yoyote ya chombo anachotaka kutokana na udongo kama mfano wa haki ya muumbaji kufanya chochote anachotaka na umbaji wake.
kwanini ulinifanya hivi mimi
Neno "wewe" hapa urejea kwa Mungu.