sw_tn/rev/22/16.md

13 lines
449 B
Markdown

# kuwashuhudia
Hapa wanaoshuhudiwa ni wengi.
# mzizi wa uzao wa Daudi
Maneno "mzizi" na "uzao" yanamaanisha kitu kimoja tu. Yesu anazungumzia kuwa "mzawa" kana kwamba ni "mzizi" uliota toka kwa Daudi. Kwa pamoja maneno haya yanasisitiza kuwa Yesu anatoka katika familia ya Daudi.
# Nyota ya Asubuhi ing'aayo
Yesu anajizungumzia mwenyewe kuwa kama nyota inayoonekana asubuhi kabla ya kupambazuka na inaashiria kuwa siku mpya imekaribia kuanza.