forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
449 B
Markdown
13 lines
449 B
Markdown
# kuwashuhudia
|
|
|
|
Hapa wanaoshuhudiwa ni wengi.
|
|
|
|
# mzizi wa uzao wa Daudi
|
|
|
|
Maneno "mzizi" na "uzao" yanamaanisha kitu kimoja tu. Yesu anazungumzia kuwa "mzawa" kana kwamba ni "mzizi" uliota toka kwa Daudi. Kwa pamoja maneno haya yanasisitiza kuwa Yesu anatoka katika familia ya Daudi.
|
|
|
|
# Nyota ya Asubuhi ing'aayo
|
|
|
|
Yesu anajizungumzia mwenyewe kuwa kama nyota inayoonekana asubuhi kabla ya kupambazuka na inaashiria kuwa siku mpya imekaribia kuanza.
|
|
|