sw_tn/rev/17/06.md

441 B

Taarifa ya Jumla:

Malaika anaanza kumueleza Yohana maana ya yule kahaba na mnyama mwekundu. Malaika anaeleza mambo haya hadi mstari wa 18.

alikuwa amelewa damu

"amelewa kwa sababu alikunywa damu"

waliokufa kwa ajili ya Yesu

"waumini waliokufa kwa sababu waliwaambia wengine kuhusu Yesu"

mshangao

"staajabu" au "shangazwa"

Kwa nini unashangaa?

Malaika alitumia swali hili kumkemea Yohana kwa upole. "Hautakiwi kushangaa!"