forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
521 B
Markdown
17 lines
521 B
Markdown
# akamwaga kutoka kwenye bakuli lake
|
|
|
|
Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"
|
|
|
|
# kiti cha enzi cha mnyama
|
|
|
|
Hapa ndipo mnyama anapotawalia. Inaweza kumaanisha mji mkuu wa ufalme wake.
|
|
|
|
# giza likaufunika ufalme wake
|
|
|
|
Giza linazungumziwa kama vile ni kitu kama blangeti. "ikawa giza katika ufalme wake wote" au " ufalme wake wote ukawa giza"
|
|
|
|
# Walisaga ... Wakamtukana
|
|
|
|
Hapa inamaanisha watu katika ufalme wa mnyama.
|
|
|