sw_tn/rev/16/03.md

9 lines
239 B
Markdown

# alimwaga bakuli lake
Neno "bakuli" linamaanisha kile kilichomo. "kumwagwa divai kutoka katika bakuli lake" au " kumwaga ghadhabu ya Mungu kutoka katika bakuli lake"
# bahari
Hii inamaanisha maziwa yote ya maji ya chumvi na mabahari.