forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
764 B
Markdown
29 lines
764 B
Markdown
# Aliruhusiwa
|
|
|
|
"Mungu alimruhusu mnyama kutoka katika nchi"
|
|
|
|
# kutoa pumzi katika ile sanamu ya mnyama
|
|
|
|
Hapa neno "pumzi" humaanisha uhai. "kuipa uhai sanamu"
|
|
|
|
# sanamu ya mnyama
|
|
|
|
Hii ni sanamu ya mnyama wa kwanza aliyetajwa.
|
|
|
|
# kusababisha wale wote waliokataa kumwabudu mnyama wauawe
|
|
|
|
"kuwaua wote waliokataa kumwabudu mnyama wa kwanza"
|
|
|
|
# Pia akalazimisha kila mmoja
|
|
|
|
"Mnyama kutoka katika nchi pia akamlazimisha kila mmoja"
|
|
|
|
# Ilikuwa haiwezekani kwa kila mtu kuuza au kununua isipokuwa mwenye alama ya mnyama
|
|
|
|
"watu waliweza kununua na kuuza vitu ingawa tu walikuwa na alama ya mnyama." "Aliamuru kuwa watu wangeweza kununua na kuuza vitu kama tu wana alama ya mnyama"
|
|
|
|
# alama ya mnyama
|
|
|
|
Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama.
|
|
|