forked from WA-Catalog/sw_tn
763 B
763 B
yale uliyoyapokea na kusikia
Hii humaanisha neno la Mungu ambalo waliamini. "neno la Mungu mlilosikia na ukweli mlioamini"
usipoamka
Kuwa makina na hatari huzungumziwa kama kuamka. "Kuwa makini" au "Kuwa mwangalifu."
nitakuja kama mwivi
Yesu atakuja wakati watu hawatarajii kama vile mwizi ajavyo asipotarajiwa.
majina machache ya watu
Hii humaanisha watu wenyewe. "watu wachache"
hawakuchafua nguo zao
Yesu anazungumzia dhambi katika maisha ya mtu kama vile ni nguo chafu. "hawajafanya maisha yao yawe yenye dhambi kama nguo chafu"
Watatembea pamoja nami
Watu kawaida walizungumzia kuishi kama "kutembea."
wamevaa nguo nyeupe
Nguo nyeupe huashiria maisha masafi bila dhambi. "na watavikwa nguo nyeupe ambayo inaonesha waso ni wasafi"