sw_tn/psa/145/014.md

409 B

anashikilia wote wanaoanguka ... anawainua wote walioinama

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatia moyo watu kana kwamba alikuwa akiwasaidia watu waliokuwa wandhaifu kimwili. "huwatia moyo wale walio kata tamaa"

Macho ya wote yanasubiri

"Kila mtu anasubiri"

Unafungua mkono wako

"Unatoa kwa ukarimu"

kuridhisha hamu za kila kiumbe hai

"unampa kila mtu zaidi ya anachohitaji na kiasi anachotaka"