forked from WA-Catalog/sw_tn
377 B
377 B
Yahwe, mtu ni nini hadi unamtambua au mwanadamu hadi unamfikiria?
"Mwanadamu ni mdogo sana ukilinganisha na vingine vyote ulivyoumba hadi ninashangaa kwamba unamtambua na kumwaza"
mtu ... mwanadamu
maneno mawili yote yanamaanisha wanadamu
kama pumzi ... kama kivuli kipitacho
Mwandishi anawafananisha wanadamu na hivi vitu kuonesha jinsi maisha yao yalivyo mafupi.