|
# nendeni mabli na mimi, nyie watu wenye vurugu
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anajifanya kuzungumza moja kwa moja na watu wenye vurugu ambao anao akilini.
|
|
|
|
# Wanaasi dhidi wako
|
|
|
|
"Wanaasi dhidi ya mamlaka yako, Mungu"
|
|
|
|
# adui zako wanasema uongo
|
|
|
|
"adui zako wanadanganya kukuhusu"
|
|
|