sw_tn/psa/130/003.md

431 B

nani atasimama?

Mwandishi anatumia swali hili kuonesha ubatili wa kuwaza kuwa mtu yeyote anaweza kusimama katika hali hii. Hili swali balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "hakuna anayeweza kusimama."

nani atasimama

"Kusimama" mara humaanisha kutoroka au kupona wakati mtu anaposhambulia. Kwa hali hiyo, itamaanisha kutoroka kutoadhibiwa. "hakuna anayeweza kutoroka adhabu yako" au "hakuna anayeweza kupona adhabu yako"