sw_tn/psa/129/004.md

267 B

amekata kamba za waovu

Israeli inazungumziwa kama imefungwa na watu waovu. "ametuokoa na adui zetu"

Wote waaibishwe na kugeuzwa

Yahwe hajatajwa wazi kama ndiye aliyefanya hivi vitu. Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Yahwe awaaibishe na kuwashinda"