amri zako zote ni za uaminifu
"ninaweza kuamini amri zako"
amri za agano
Maana zingine zinazowezekana ni "shuhuda" au "sheria"
umeziandaa
Mwandishi wa zaburi anazungumzia amri za Yahwe kana kwamba ni nguzo zilizopangwa kwenye ardhi. "umewapa watu kutii"