forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
351 B
Markdown
9 lines
351 B
Markdown
# Ninafuata maagizo yako yote kwa makini
|
|
|
|
Mtu kutii kwa makini maagizo yote ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo yanamwongoza mtu na mtu anayafuata kwa nyuma. "Ninatii kwa makini maagizo yako yote"
|
|
|
|
# kila njia ya uongo
|
|
|
|
Watu kufanya kilicho kiovu inazungumziwa kana kwamba wanatembea njia mbaya. "njia zote mbaya ambazo baadhi ya watu huishi"
|
|
|