sw_tn/psa/119/043.md

290 B

Usitoe neno la ukweli mdomoni mwangu

"mdomo wangu" inamaanisha kuzungumzia juu ya neno la Mungu. "Usinizuie kamwe kuzungumza ukweli wako"

kwa kuwa nimesubiri amri zako za haki

"kusubiri" kuna wazo la kuamini, kuwa na uhakika kuwa Mungu atafanya anavyoagiza.

Nitafuata

"Nitatii"