sw_tn/psa/119/021.md

420 B

waliolaaniwa

Maana zinazowezekana ni 1) Mungu atawalaani au 2) wanastahili adhabu ya Mungu. "wanaostahili adhabu yako"

wanaopotea kutoka katika amri zako

Mwandishi anazungumzia kutotii amri za Mungu kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo mtu anaweza kupotoka. "wanaoenda mbali na njia za amri zako" au "wanaokaidi amri zako"

Niepushe na

"Niweke mbali na" au "Niokoe na"

na aibu

"na kuhisi aibu na upumbavu"