forked from WA-Catalog/sw_tn
572 B
572 B
Taaarifa ya Jumla:
Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza.
Kamba za kifo zilinizunguka
Mwandishi anazungumzia kifo kanakwambani mtu anayeweza kumshika na kumfunga kwa kamba. "Nilihisa kama nataka kufa"
mitego ya kuzimu ilinikabili
Mwandishi anazungumzia "kuzimu," mahali pa wafu, kana kwambani mtu anayeweza kumtega kwamitego. "Nilihisi kama niko tayari kuingia kaburini"
nikalita jina la Yahwe
Hapa neno "jina" linaashiria Yahwe mwenyewe. "nikamwita Yahwe"
okoa maisha yangu
Hapa neno "maisha" linaashiria mtu. "niokoe" au "niepushe na kufa"