Na mbarikiwe na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe, aliyeumba mbingu na nchi, awabariki"
dunia amempa mwanadamu
Hii haimaanishi kuwa dunia si mali ya Yahwe, lakini amewapa binadamu dunia kama sehemu ya makao.