sw_tn/psa/106/028.md

340 B

sadaka zilizotolewa kwa wafu

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "sadaka ambazo walitoa kwa wafu"

kwa wafu

"Wafu" ina maana ya sanamu na miungu ambayo Waisraeli walikuwa wakiabudu. "Kwa miungu ambao wamekufa" au "kwa miungu ambayo haina uhai"

tauni ikazuka

"tauni ikasambaa"

Wakachochea hasira yake

"ikamkasirisha"