sw_tn/psa/106/022.md

401 B

nchi ya Hamu

Hii ina maana ya nchi ambapo vizazi vya Hamu waliishi. "nchi ambayo uzao wa Hamu waliishi"

matendo makuu

"mambo ya ajabu"

akaingilia kati naye katika upenyu ... kutowaangamiza

Hapa Daudi anazungumzia kuhusu Musa kumshawishi Yahwe kutowaangamiza Israeli kama kuingilia kati na yeye kuwa katika upenyo. "alisimama katikati ya Yahwe na Waisraeli na kumsihi Yahwe kutowaangamiza"