forked from WA-Catalog/sw_tn
699 B
699 B
Katika kambi
Hii ina maana ya kambi ya Waisraeli katika nyika. "Katika kambi nyikani"
Dunia ilifunguka na kummeza
Hapa jinsi ardhi inavyofunguka na kuwazika watu inalinganishwa kwa jinsi kiumbe kinavyomeza kitu. "Dunia ilifunguka na kuzika"
Dathani
Huyu alikuwa afisa aliyeasi thidi ya Musa.
na kuwafunika wafuasi wa Abiramu
Wafuasi wa Abiramu walizikwa pia dunia ilipofunguka na kumzika Dathani. "pia ikafunuka wafuasi wa Abiramu" au "na pia ikazika wafuasi wa Abiramu"
Abiramu
Huyu alikuwa afisa aliyeasi dhidi Musa.
Moto ukaanza miongoni mwao; moto ukawateketeza waovu
Misemo hii miwili ina maana kimoja na inaandikwa pamoja kusisitiza jinsi watu waovu waliuawa kwa moto.