forked from WA-Catalog/sw_tn
846 B
846 B
Aliwaleta Waisraeli nje wakiwa na fedha na dhahabu
Waisraeli walipoondoka Misri walichukua fedha na dhahabu pamoja nao. "Aliwatoa Waisraeli kutoka Misri pamoja na fedha na dhahabu katika milki yao"
hakuna wa kabila lake waliojikwaa njiani
Hakuna aliyebaki nyuma. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "makabila yake yote yaliweza kufanya safari hiyo"
Misri ilifurahi
Hapa "Misri" ina maana ya watu ambao wanaishi Misri. Watu wa Misri alifurahi.
Alitandaza wingu kuwa mfuniko
Hapa mtunga zaburi anafafanua Yahwe kuweka wingu angani kana kwamba alikuwa akitandaza nje vazi. Wingu lilikuwa "linafunika" kuwalinda kutoka na jua. "Aliweka wingu angani kuwalinda kutoka na jua na joto"
kutengeneza moto kutoa mwanga usiku
Yahwe aliweka nguzo ya moto angani kutoa mwanga wakati wa usiku. "aliweka moto angani kutoa mwanga usiku"