sw_tn/psa/097/003.md

503 B

Moto huenda mbele yake

Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba alikuwa ni mtu anayetembea mbele ya mfalme Yahwe na kuwaambia watu kuwa mfalme anakuja.

kuwameza adui zake

"anawaunguza adui zake"

dunia huona na kutetemeka

"dunia" inamaanisha watu wanaoishi duniani. "watu wa duniani wanaona na kutetemeka"

kutetemeka

"anatetemeka kwa uoga"

Milima inayeyuka kama nta mbele ya Yahwe

"Milima haiwezi kusimama wakati Yahwe anakuja karibu" au "Milima inaporomoka katika uwepo wa Yahwe"