forked from WA-Catalog/sw_tn
333 B
333 B
Je! Hautahuisha tena?
Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza kwamba anamwomba Mungu kuwafanya watu wa Israeli wafanikiwe na wawe na furaha tena. "Tafadhali tufanye kuwa na mafanikio tena"
Tuoneshe uaminifu wako wa agano
"Kuwa mwaminifu kwa sababu ya agano lako na sisi"
tupe wokovu wako
"tupe wokovu wako kwa kutuokoa"