forked from WA-Catalog/sw_tn
806 B
806 B
Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
Kwa mwanamuziki mkuu
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
weka katika Gitithi
Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.
Zaburi ya wana wa Kora
"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika"
Panapendeza kiasi gani
"Ni pazuri kiasi gani"
na shauku na nyua za Yahwe
"Ninatamani sana kuwa katika nyua za Yahwe"
nyua za Yahwe
Hapa "nyua" inawakilisha hekalu.
hamu yangu kwa kwa hizo imanichosha
"hamu yangu imenichosha" au "nimechoka kwa sababu ninaitaka sana"
Moyo wanguna kila kitu ndani yangu kinamwita
Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "Niita kwa kila kitu ndani yangu"
Mungu aliye hai
Hii inamaanisha kuwa Mungu yu hai na pia ana uwezo wa kusababisha vitu vingine kuishi.