forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
Hawaelewi
Maana zinazowezekana ni 1) wasioelewa ni miungu au 2) wasioelewa ni watu waovu.
wanazurura gizani
Kufanya kilicho kiovu kinazungumziwa kana kwamba walikuwa wakitembea sehemu yenye giza sana.
misingi yote ya duniani inaanguka
Miungu kuharibu mpangilio wa uadilifu ambao Yahwe aliweka inazungumziwa kana kwamba miungu ilikuwa inatikisa dunia na kuifanya ibomoke.
inaanguka
"kubomoka"