forked from WA-Catalog/sw_tn
370 B
370 B
Aliita akilini
"Alikumbuka"
wameumbwa kwa nyama
Neno "nyama," ambalo ni dhaifu halafu hufa, ni njia nyingine ya kusema udhaifu na mauti. "Waisraeli walikuwa wanyonge na siku moja watakufa"
maeneo yenye ukame
"sehemu ambapo hakuna kitu kinachoota"
walimpinga Mungu
Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya alichosema atafanya kabla hawajamwamini.