forked from WA-Catalog/sw_tn
612 B
612 B
nilinyosha mikono yangu
"niliomba na mikono yangu ikiwa imenyoshwa"
Nafsi yangu ilikataa kufarijiwa
"Nafsi" ni njia nyingine ya kusema mtu. "Sikumruhusu yeyote kujaribu kunifariji"
Nilimuwaza Mungu na nikagumia; Nilimuwaza huku nikiishiwa nguvu
Misemo hii miwili ina maana za kufanana na inaunganishwa kwa ajili ya mkazo.
huku nikiishiwa nguvu
"wakati nafsi yangu ikiishiwa nguvu" au "wakati nafsi yangu ilipolemewa"
Sela
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.