forked from WA-Catalog/sw_tn
559 B
559 B
Anahuruma kwa maskini na wahitaji
"Anataka kuzuia maskini na wahitaji kuhangaika"
maskini na wahitaji
Hapa maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kwamba hawawezi kujisaidia wenyewe.
Anaokoa maisha yao
"Anawaokoa" au "Anawakomboa"
ukandamizaji na vurugu
Maneno haya mawili yana maana zinazo fanana na yanasisitiza jinsi wahitaji wanavyohangaika. "wale wanao wakandamiza na kuwaumiza"
damu yao ni ya dhamani machoni pake
"anataka waishi vizuri"
damu yao
"maisha yao" au "hali yao"
machoni pake
"kwake"