sw_tn/psa/071/017.md

431 B

umenifundisha

"umenifundisha vitu vingi"

Mungu, usiniache

"Mungu, tafadhali usiniache"

nimekuwa nikitangaza nguvu yako

"nimekuwa nikiwaambia watu jinsi ulivyo na nguvu"

kwa kizazi kifuatacho

"kwa wale ambao ni watoto leo"

uwezo wako kwa kila mtu atakeyekuja

"na kama ninavyotangaza uwezo wako kwa kila mtu atakayekuja"

kila mtu atakeyekuja

Hii ni kukuza kwa neno. "ili watu wengi niwezavyo kuwaambia wajue"