sw_tn/psa/062/005.md

420 B

kwa kuwa matumaini yangu yako kwake

"kwa kuwa ninaweka matumaini yangu kwake"

Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu wa juu

Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba na mnara wa juu. Sitiari zote hizi mbili zinaonesha jinsi Mungu anavyotoa ulinzi kutoka kwa adui wa mtu. Hapa "wokovu" inamaanisha Mungu anamwokoa mwandishi.

sitasogezwa

"hakuna kitu kinachoweza kunisogeza"