forked from WA-Catalog/sw_tn
387 B
387 B
ili mwili wake usioze
Hii inamaanisha mwili kuoza katika kaburi.
ataona uozo
Mwandishi anazungumzia kupitia kitu kana kwamba ilikuwa ni kukiona hicho kitu. "atakufa na mwili wake kuoza"
Watu wenye hekima hufa; mpumbavu na mjinga wote wanaangamia
Mwandishi anamaanisha watu wote kwa kuwataja wale walio na hekima nyingi zaidi na kidogo zaidi.
mjinga
mtu ambaye hajui kitu