forked from WA-Catalog/sw_tn
378 B
378 B
Usiniache ... usikae mbali na mimi
Misemo hii miwili ina maana za kufanana sana.
usikae mbali na mimi
Kwa sababu Yahwe bado hajajibu ombi la mwandishi, anamzungumzia Yahwe kana kwamba yahwe alikuwa amesimama mbali na mwandishi.
Njoo upesi kunisaidia
Mungu anazungumziwa kana kwamba anakimbia kwenda kwa mwandishi kumsaidia.
wokovu wangu
"wewe ndiye unayeniokoa"