forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
690 B
Markdown
21 lines
690 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# Zaburi ya Daudi
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
|
|
|
# usinikemee katika hasira yako ... usiniadhibu katika gadhabu yako
|
|
|
|
Misemo hii inamaana moja na wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo.
|
|
|
|
# mishale yako inanichoma
|
|
|
|
Ukali wa adhabu ya Yahwe kwa mwandishi unazungumziwa kana kwamba Yahwe amepiga mishale kwa mwandishi. "Adhabu yako ina maumivu kana kwamba umepiga mishale kwangu"
|
|
|
|
# mkono wako unanikandamiza chini
|
|
|
|
Adhabu ya Yahwe kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa akimponda mwandishi kwa mkono wake.
|
|
|