forked from WA-Catalog/sw_tn
434 B
434 B
mtu mwenye haki ameachwa
"Yahwe amwacha mtu mwenye haki"
mtu mwenye
Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.
wakiomba mkate
Hapa "mkate" inwakilisha chakula kwa ujumla. "kuomba chakula"
Siku nzima
Lahaja hii inamaanisha tendo hili ni tabia ya maisha yake.
watoto wake wanakuwa baraka
"watoto wanakuwa kuwabariki wengine"
Geuka
Kuacha kufanya kitu inazungumziwa kana kwamba mtu ankigeuka. "Acha kufanya"