sw_tn/psa/035/024.md

1.1 KiB

usiwaache wafurahi juu yangu

"usiwaache wafurahi kwa sababu ninateseka"

waseme moyoni mwao

Hii ni lahaja inayomaanisha kujisemesha. "wajisemeshe"

Aha

Huu ni mshangao unaotumika wakati kitu kinaonekana ghafla au kueleweka. Unaweka mkazo katika kauli inayofuata. "Ndio"

tumepata tunalichokuwa tunataka

Inadokezwa kuwa adui wa mwandishi walitaka atangazwe kuwa na hatia. "ametangazwa kuwa na hatia kama tulivyokuwa tunatamani!"

Tumemmeza

Adui wa mwandishi wanazungumzia uharibifu wake kana kwamba waoni wanyama pori waliommeza. "Tumemwangamiza"

shangaze

"aibishe" au "fadhaishe"

Na wale wanao nidhihaki wafunikwe na aibu na kukosa heshima

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na uwafunike kwa aibu na kukosa heshima wale wanao nidhihaki"

nidhihaki

kumtukana mtu ili kumkasirisha

wafunikwe na aibu na kukosa heshima

Hapa aibu na kukosa heshima zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa nguo za aibu ambazo mwandishi aliweza kuvaa. Nomini dhahania hizi zinaweza kuelezwa kama vitenzi. "waaibishwe na kukosa heshima"

aibu na kukosa heshima

Haya maneno yana maana za kukaribiana na yanatumika kuonesha ni kiasa gani watashushwa.