sw_tn/psa/035/019.md

369 B

Usiache adui zangu waongo

"Usiache adui zangu, wanaosema uongo kunihusu,"

njama zao za uovu

"mipango yao ya uovu"

hawazungumzi amani

"hawazungumzi kwa amani na watu"

kupanga maneno ya uongo

"wanatafuta njia za kusema uongo"

wale katika nchi yetu wanao ishi kwa amani

"wale wanaoishi kwa amani katika nchi yetu"

ishi kwa amani

"usimdhuru yeyote"