sw_tn/psa/035/013.md

619 B

walipokuwa wagonjwa

Wagonjwa hapa inamaanisha "mashahidi waovu"

Nilivaa gunia

"Nilionesha kuwa nina huzuni"

na kichwa changu kikiwa kimeinamishwa kifuani mwangu

Hii ilikuwa ishara ya maombi. "na kichwa changu kimeinama chini katika maombi"

katika majonzi kama kwa ndugu yangu

Mwandishi alikuwa na huzuni kana kwamba ndugu yangu amekufa. "kuhuzunika kana kwamba ndugu yangu mwenyewe alikuwa ameugua"

Niliinama katika kuomboleza kama kwa mama yangu

Mwandishi aliomboleza kana kwamba mama yake amekufa. "Niliomboleza kana kwambamama yangu amekufa"

Niliinama

Hii ilikuwa alama ya maumivu na mateso.