forked from WA-Catalog/sw_tn
619 B
619 B
walipokuwa wagonjwa
Wagonjwa hapa inamaanisha "mashahidi waovu"
Nilivaa gunia
"Nilionesha kuwa nina huzuni"
na kichwa changu kikiwa kimeinamishwa kifuani mwangu
Hii ilikuwa ishara ya maombi. "na kichwa changu kimeinama chini katika maombi"
katika majonzi kama kwa ndugu yangu
Mwandishi alikuwa na huzuni kana kwamba ndugu yangu amekufa. "kuhuzunika kana kwamba ndugu yangu mwenyewe alikuwa ameugua"
Niliinama katika kuomboleza kama kwa mama yangu
Mwandishi aliomboleza kana kwamba mama yake amekufa. "Niliomboleza kana kwambamama yangu amekufa"
Niliinama
Hii ilikuwa alama ya maumivu na mateso.