forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
533 B
Markdown
17 lines
533 B
Markdown
# katika wokovu wake
|
|
|
|
Nomino dhahania "wokovu" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "kwa kuwa umeniokoa"
|
|
|
|
# Mifupa yangu yote
|
|
|
|
Hapa "mifupa" inamaanisha undani zaidi wa mtu. "Undani wangu wote"
|
|
|
|
# Yahwe, ni nani aliye kama wewe ... wale wanao jaribu kuwaibia?
|
|
|
|
Jibu linalodokezwa kwa hili swali ni kwamba hakuna aliye kama Yahwe. "Yahwe, hakuna aliye kama wewe ... wale wanaojaribu kuwaibia"
|
|
|
|
# maskini na wahitaji
|
|
|
|
Maneno "maskini" na "wahitaji" yana maana ya kufanana na yanasisitiza kuwa Yahwe anawaokoa wengi wanaohitaji msaada wake.
|
|
|