forked from WA-Catalog/sw_tn
622 B
622 B
Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
Zaburi ya Daudi
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
kujifanya kuwa mwenye wazimu
"kuigiza kama mtu chizi"
mbele ya Abimeleki
Hii inamaanisha tukio bayana la kihistoria ambalo Wahebrania wanafahamu vizuri. "alipokuwa katika nyumba ya Abimeleki" au "alipokuwa mfungwa wa Abimeleki"
mfukuza
"mwondoa kwa nguvu"
sifa yake daima itakuwa mdomoni mwangu
Hapa "mdomoni mwangu" inamaanisha Daudi kumzungumzia Mungu. "daima nitamsifu kwa sauti"