forked from WA-Catalog/sw_tn
701 B
701 B
Usiniache niaibike
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Usiwaache wengine wanifanye nijisikie aibu"
Na waovu waaibike!
"Natamani kwamba Mungu awaaibishe watu waovu!"
waovu
Hii inamaanisha watu waovu.
Na wawe kimya kuzimu. Midomo ya uongo inyamazishwe
Wazo hili linarudiwa kusisitiza hamu ya mwandishi kwamba sauti za waovu hazisikiwi.
Na wawe kimya kuzimu
Hapa "kuzimu" inawakilisha kifo. "Acha wafe ili wasiweze kuzungumza"
Midomo ya uongo
Hii inawakilisha watu waongo. "watu wanaodanganya"
inayozungumza dhidi ya wenye haki kwa ujasiri
"wanaosema mambo mabaya kuhusu watu wenye haki"
kwa dharau na kubeza
Maneno haya yana maana ya kufanana. "na dharau sana"