forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
647 B
Markdown
25 lines
647 B
Markdown
# Nini kingetokea kwangu
|
|
|
|
Swali hili balagha linaweza kuelezwa katika hali chanya. "Kitu kibaya kingetokea kwangu"
|
|
|
|
# uzuri wa Yahwe
|
|
|
|
Nomino dhahania ya "uzuri" inaweza kuelezwa kama kitenzi. "vitu vizuri ambavyo Yahwe hufanya"
|
|
|
|
# katika nchi ya walio hai
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa hai. "wakati niko hai"
|
|
|
|
# Msubiri Yahwe ... msubiri Yahwe!
|
|
|
|
Mstari huu unaweza kuwa 1) mwandishi anazungumza mwenyewe au 2) mwandishi anazungumza na wengine au 3) mtu anazungumza na mwandishi.
|
|
|
|
# acha moyo wako uwe na ujasiri
|
|
|
|
Hapa "moyo" unawakilisha mtu mzima. "uwe mjasiri"
|
|
|
|
# Msubiri Yahwe!
|
|
|
|
Mstari huu umerudiwa mwishoni mwa zaburi kama njia ya kumalizia zaburi.
|
|
|