forked from WA-Catalog/sw_tn
575 B
575 B
Inueni vichwa vyenu, nyie malango; muinuliwe, malango ya milele
Misemo miwili ina maana za kukaribiana. "Malango" ni ile ya hekaluni. Mwandishi anazungumza na malango kana kwamba ni mtu. Mtu anayetunza malango ndiye huwepo kufungua malango. "Fungukeni, enyi malango ya zamani" au "Fungueni milango hii ya zamani"
Inueni vichwa vyenu
Haikowazi ni sehemu gani bayana ya lango ndio "kichwa." Lakini inawakilishi mlango mzima kwa ujumla.
Yahwe, mwenye nguvu na hodari; Yahwe, hodari vitani
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni shujaa hodari anapigana vitani.