1.3 KiB
Taarifa ya Jumla:
Daudi amemaliza tu kusema kuwa uumbaji unaonesha utukufu wa Mungu.
maneno yao ...kusema kwao
Hii namaansiha "maneno" yasiyozungumzwa ya uumbaji yanayoonesha utukufu wa Mungu.
maneno yao huenda
Maneno yanaelezwa kana kwamba ni watu ambao wanatoka na ujumbe. "maneno amabyo uumbaji unazungumza ni kama watu wanaoenda nje"
kusema kwao hadi mwisho wa dunia
"kusema kwao kunaenda hadi mwisho wa dunia"
Ameweka hema kwa ajili ya jua
Hapa mwandishi anazungumzia sehemu ambayo Yahwe aliumba kwa ajili ya jua kana kwamba ni hema. "Aliumba sehemu kwa ajili ya jua"
miongoni mwao
Neno "mwao" inaweza kuwa inamaanisha mbingu.
Jua ni kama bwana arusi anayetoka katika chumba chake
Mwandishi anazungumzia kuchomoza kwa jua kana kwamba ni bwana arusi. "jua ni kama bwana arusi akitembea kwa furaha kwenda kwa bibi arusi wake"
kama mwamme menye nguvu anayefurahi anapokimbia mbio yake
Hii inalinganisha jua na mwanariadha kusisitiza nguvu na mwanga wa jua.
mwanamme mweye nguvu
"mkimbiaji mwenye kasi"
upeo wa macho
mstari ambao ardhi na anga hukutana
hadi mwingine
Hapa "mwingine" inamaanisha upeo wa macho. "hadi kwenye upeo wa macho mwingine"
hakuna kinachotoroka joto lake
Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "kila kitu kinahisi joto lake"